Field Misheni Tanga - Tanzania

12% Donated of Tsh. 3112000

Huduma ya Jesus Glory (JG) kupitia Kufika Kusikofikiwa na Injili Ya Yesu Kristo (KKI) inatarajia kufanya misheni mkoani Tanga katika vijiji vya Mlola na Hemtoe kuanzia tarehe 01/06/2021, Lengo ni kufikisha injili vijijini na kuokoa watu kwa jina la Yesu. Tunaomba mchango wako wa hali na mali katika kufanikisha misheni hii katika kuhubiri Injili na Mungu akubariki sana. Tuma sadaka yako kupitia namba 0752 883 573 au 0753 885 118 zenye jina JESUS GLORY. Misheni hii itahusisha kuhubiri Injili, Ushuhudiaji wa nyumba kwa nyumba,Mkutano na sinema.

Field Misheni Songwe

80% Donated of Tsh. 2500000

Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu. Tunamtukuza Mungu kwa ajili ya watu waliookoka mkoa wa Songwe, jumla ya watu waliofikiwa na Injili ya Yesu Kristo ni 1410 kati ya hawa watu 460 waliookoa. Tunarudisha sifa na utukufu kwa Mungu aliyefanya yote.

Africa's thirst

19% Donated of Tsh. 62000000

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nulla convallis egestas rhoncus. Donec facilisis fermentum sem, ac viverra ante luctus vel. Donec vel mauris quam